Deuteronomy 2:7

7 a Bwana Mwenyezi Mungu wenu amewabariki kwa kazi yote ya mikono yenu. Amewalinda katika safari yenu katikati ya jangwa hili kubwa. Kwa miaka hii arobaini Bwana Mwenyezi Mungu wenu amekuwa pamoja nanyi, na hamkupungukiwa na kitu chochote.

Copyright information for SwhKC